Athari ya kiu ya ufaulu kwa wanafunzi  na Taifa

Shinyanga. Katika jamii nyingi leo, ufaulu umegeuka kuwa lengo kuu la elimu. Kila mzazi, mwalimu na mwanafunzi anatamani kuona alama za juu, vyeti vingi na matokeo yanayovutia.  Hata hivyo, katika harakati hizo, mambo muhimu kama maadili, utu na ujuzi wa vitendo yameachwa nyuma au kupewa nafasi finyu. Takwimu na hali halisi ya kijamii vinaonyesha kuwa…

Read More

Mashariki ya Kati inavyoadhimisha Eid katikati ya vita

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya  Waislamu wakiendelea na mfungo wa Ramadhan katika baadhi ya maeneo duniani, Mashariki ya kati katika mataifa kama Saudi Arabia wamesherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Kutokana na tishio la kiusalama linalochochewa na vita vya Iran, Israel na Marekani, mataifa hayo ya Ghuba yametangaza kuwa sala za sikukuu ya Eid mwaka…

Read More

Vita ya Iran kutikisa wakulima upatikanaji mbolea duniani

Wakati vita ya Marekani, Israel dhidi ya Iran ikiendelea kushika kasi kwa takribani wiki ya tatu sasa, moja ya changamoto kubwa ambayo iatajwa kuikumba dunia siku za usoni ni upatikanaji wa mbolea kwa wakulima. Athari za vita hivyo, inatoa mwangwi kwa wakulima hapa nchini kujiweka mguu sawa ili kukabiliana na changamoto hiyo, ambapo Tanzania ni…

Read More

Dk Mwigulu aonya watumishi kupangisha vizimba wafanyabiashara

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kwa baadhi ya watumishi wa umma wanaojihusisha na tabia ya kukodisha maduka au vizimba kwa wafanyabiashara kwenye masoko, kinyume na utaratibu. Ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kusimamia sensa ya wafanyabiashara waliokuwa na vizimba katika soko la Kilombero, ili ujenzi utakapokamilika wapewe kipaumbele cha kwanza….

Read More

RAIS DKT. SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA HESHIMA KUTOKA CHUO KIKUU CHA NASARAWA CHA NCHINI NIGERIA KWA NJIA YA MTANDAO.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akifuatilia hafla ya mahafali kwa njia ya mtandao ambapo ametunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Heshima kutoka Chuo Kikuu cha Jimbo la Nasarawa, Keffi nchini Nigeria, tarehe 11 Aprili, 2026 Ikulu, Dodoma. Mheshimiwa Rais ametunukiwa Shahada hiyo ya Uzamivu ya Heshima kwa kutambua mchango wake…

Read More

TRA v Simba mechi ya mabao, ngoma iko hapa

KUTORUHUSU bao lolote dhidi ya TRA United katika mechi nne za Ligi Kuu Bara walizokutana, zinaipa Simba matumaini ya kuendeleza ubabe wao katika mechi hii yenye rekodi ya kupatikana mabao kuanzia mawili. Timu hizo zinakutana leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha saa 10:00 jioni, huku zote zikiingia uwanjani zikiwa zimetoka kushinda…

Read More

Chama la Samatta hatarini kushuka daraja

KLABU ya Le Havre AC anayoichezea mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta iko kwenye nafasi mbaya na hatari ya kushuka daraja kama haitashtuka mwishoni. Le Havre iko nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi, nafasi ambayo siyo salama kutokana na tofauti ndogo ya pointi na timu zinazopigania kubaki kwenye ligi hiyo. Timu hiyo imekusanya pointi 26…

Read More

Wazazi wanavyoweza kudhibiti WhatsApp za watoto wao

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha usalama wa watoto mitandaoni, Kampuni ya teknolojia ya Meta Platforms, inayomiliki programu ya WhatsApp, imetangaza kuanzisha mfumo mpya wa akaunti zinazodhibitiwa na wazazi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 13. Tangazo hilo lililotolewa Machi 11, 2026, linakuja wakati dunia ikishuhudia ongezeko la wasiwasi kuhusu athari za mitandao ya…

Read More