Sugu asimulia alivyovuka kiunzi cha ‘Team Mbowe, Team Lissu’-1
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe, katika maisha yake binafsi alikuwa rafiki zaidi wa Tundu Lissu tangu walipokuwa pamoja bungeni. Mbunge huyo wa zamani wa Mbeya Mjini amekiri kuwa…