Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama kubwa za matengenezo. Kupuuza tatizo dogo leo inaweza kumaanisha tatizo kubwa kesho. Hapa kuna mambo muhimu yasiyotakiwa kupuuzwa kwenye gari lako: 1️⃣ Breki – Moyo wa UsalamaBreki ni…

Read More

VIJANA WANAGENZI KIGAMBONI WAANZA KUNG’ARA KATIKA MAKAMPUNI MAKUBWA NCHINI

Na. OWM- KAM,Dar es Salaam Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi nchini imeanza kuonyesha matokeo ya dhahiri kwa vitendo baada ya idadi kubwa ya vijana waliopata mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kigamboni kufanikiwa kupata ajira katika makampuni makubwa na taasisi za kimkakati hapa nchini.  Mafanikio hayo yamethibitika kufuatia ufuatiliaji uliofanyika kwa wahitimu…

Read More

OKASH AANZISHA MFUMO WA KUSIKILIZA KERO KIDIGITALI

Na Mwandishi wetu OFISI ya Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma imezindua mfumo wa kusikiliza kero za wananchi kidigitali kupitia namba maalumu WhatsApp ijulikanayo kama Chemba konektedi. Kupitia namba hiyo maalum ya 0771400500 itakayotumika kwa mfumo wa WhatsApp wananchi wataweza kuwasilisha kero na changamoto zao moja kwa moja bila kutumia muda, nauli kwa kusafiri…

Read More

NELLA ANNOUNCES NEW SINGLE “LUKAKU” — THE AFROFUSION ANTHEM THAT POSITIONS HER AS ONE TO WATCH

Cameroon-born, LA-raised Afrofusion artist releases her most personal work yet — a mid-tempo empowerment anthem produced by acclaimed producer Mystro Sugar and mixed by Grammy-nominated mixing engineer Giggz LOS ANGELES, CA — March 6, 2026 — Nella, the Cameroonian-born, Bamiléké Afrofusion artist raising from Los Angeles and Houston, today announces the release of her new…

Read More

Serikali ionyeshe njia ya kusaidia wanyonge

Kwa mara nyingine, Tume ya Ushindani wa Haki wa Kibiashara Zanzibar (ZFCC) imewaonya wafanyabiashara wanaokiuka bei elekezi za vyakula zilizopangwa na Serikali. Tume hiyo imewataka wabandike bei za bidhaa zao mahali panapoonekana wazi, na kuonya kuwa watakaokiuka maelekezo hayo watachukuliwa hatua za kisheria. Kwa mtazamo wa kawaida, hatua hiyo inaweza kuonekana kuwa ni jitihada za…

Read More

Serikali kukamilisha maandalizi mkakati kukabiliana na wanyama wakali

Arusha. Serikali imesema inaendelea kukamilisha maandalizi ya Mkakati wa Kitaifa wa Kukabiliana na Wanyamapori Wakali na Waharibifu (2025/26–2034/35) pamoja na kufanya tafiti za kimkakati ili kubuni mbinu mpya za kukabiliana na wanyamapori hao, hususan tembo. Aidha, imeielekeza Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (Tawiri) kuendelea kuwafunga mikanda ya mawasiliano tembo viongozi ili kubaini mienendo yao…

Read More