Sita zatangulia robo fainali FA Cup Pemba

CHIPUKIZI, Mwenge, Wawi Stars, Azimio, Machomane na Chakechake, zimefuzu robo fainali ya Kombe la FA Kanda ya Pemba, baada ya kufanya vizuri hatua ya 16 bora. Chipukizi ambayo ilibeba ubingwa huko Pemba msimu uliopita, ilianza kutangulia robo fainali baada ya kuifunga El-gado mabao 5-0 kwenye Uwanja wa Gombani, mechi iliyochezwa Machi 28, 2026, saa 8:00…

Read More

Raoma, Vodacom Wazindua Mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ Chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani

Taasisi isiyo ya kiserikali ya RAOMA Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo wamezindua mfumo mpya wa kidijitali wa elimu unaoitwa SOMO, chini ya kampeni mpya ya Twende Zetu Darasani. SOMO ni mfumo wa kidijitali ulioundwa mahususi na Vodacom Tanzania Plc ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji wa masomo…

Read More

WAZIRI MKUU AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI KUANDAA JEDWALI LA UTEKELEZAJI UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara. Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu…

Read More

WATENDAJI OFISI YA WAZIRI MKUU WAKUMBUSHWA KUIMARISHA WELEDI KUTIMIZA DIRA YA TAIFA 2050

Na. MWANDISHI WETU -DODOMA Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu wamekumbushwa kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ufanisi na kujituma ili kuhakikisha wanachangia kikamilifu katika kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa 2050, hususan katika maeneo ya sera, uratibu na usimamizi wa utekelezaji wake. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,…

Read More

RPC Mutafungwa atangaza vita kwa watumia mihadarati Ukerewe

Mwanza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa ametangaza operesheni maalumu na isiyo na ukomo dhidi ya wahalifu wanaojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na matukio ya uvunjifu wa amani katika Wilaya ya Ukerewe. Mutafungwa ametoa kauli hiyo Aprili 10, 2026 wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Kagunguli, Wilaya…

Read More

DC NYAMWESE AWAPA SOMO WANAWAKE HANDENI MJI MATUMIZI YA SIMU JANJA KIBIASHARA

    Na Mwandishi Wetu, Handeni Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni.  Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese ameyasema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano…

Read More

uchunguzi huru – Masuala ya Ulimwenguni

Wajumbe wa Tume ya Uchunguzi kuhusu Ukraine, uchunguzi huru kuhusu uvamizi kamili wa Urusi ambao uliwasilisha ripoti yake ya hivi punde kwa Baraza la Haki za Binadamu huko Geneva, walisema kwamba wamethibitisha kufukuzwa na kuhamishwa kwa watoto 1,205 kutoka maeneo yanayokaliwa na Warusi nchini Ukrainia hadi Urusi au katika maeneo mengine yanayokaliwa kwa mabavu nchini…

Read More