SERIKALI KUSAIDIA ZAIDI SEKTA BINAFSI KUCHANGIA MAENDELEO YA KIUCHUMI InboxSearch for all messages with label Inbox

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika…

Read More

Theluthi mbili ya watoto ‘ya kutisha’ wanasema unyanyasaji mtandaoni umeongezeka – Global Issues

Ripoti hiyo inaangazia “mwenendo wa kutisha” na “haja ya dharura ya mfumo mzima wa ikolojia wa mtandaoni kuchukua hatua haraka na kwa pamoja ili kuwalinda watoto,” Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Stéphane Dujarric, alisema. Matokeo hayo yanakuja huku kukiwa na ongezeko la vitisho kwa watoto kutokana na kuongezeka kwa migogoro, kuhama makazi,…

Read More

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote wa baraza la mawaziri katika hatua ya kushtukiza. Taarifa kutoka kwa msemaji wake imesema serikali imeacha rasmi kutekeleza majukumu yake, huku Randrianirina akitarajiwa kumteua Waziri Mkuu mpya na…

Read More