Umuhimu wa ujenzi wa imani katika jamii ya Kiislamu

Tatizo la jamii ya Kiislamu leo hii, si ukosefu wa mwonekano wa kidini au ukosefu wa misikiti, au udhaifu wa mawaidha. Minara ya misikiti na majukwaa ya kuhubiri yamekuwa mengi, tatizo lipo katika mwonekano wa nje wa Waislamu na kukosekana utekelezaji wa imani ya kweli. Watu wengi utawakuta wanatimiza ibada vizuri, lakini wanakosea katika utekelezaji…

Read More

Kipigo chamzindua Nsajigwa Prisons | Mwanaspoti

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichokipata Tanzania Prisons dhidi ya Singida Black Stars juzi kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, kimemwibua kocha wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, baada ya kukiri umakini ndiyo sababu ya kukosa ushindi. Mechi hiyo iliyopigwa Kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, Prisons ilitangulia kupata bao la penalti dakika ya tatu, kupitia…

Read More

ACHPR yataka wote waliomteka Mshabaha nchini Kenya wawajibishwe

Dar es Salaam. Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHRO), imepongeza kukamatwa kwa washukiwa watatu wanaodaiwa kuhusika katika jaribio la kumteka nyara mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha lililotokea nchini Kenya. Washukiwa hao ni raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja ambao tayari wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayohusiana na tukio hilo. Tume hiyo…

Read More

Coca-Cola Kwanza Ltd drives growth with Tuk-Tuk Incentive

Coca-Cola Kwanza (CCK) handed over six Tuk-Tuks to top performing Official Coca-Cola Distributors as part of a Returnable Glass Bottle (RGB) incentive programme run in the fourth quarter of last year. The Tuk-Tuk incentive was open to all qualifying distributors of CCK products and aimed to reward those businesses driving growth and ensuring that a…

Read More