Majembe saba yampa jeuri kigogo Simba, atuma salamu

LICHA ya Simba kutoka suluhu dhidi ya Yanga katika Dabi ya Karikoo wikiendi iliyopita, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Crescentius Magori, amesema usajili uliofanyika dirisha dogo umezaa timu mpya itakayofanya makubwa msimu huu, huku kocha wa zamani wa klabu hiyo, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akiwataja mastaa watatu wakali. …

Read More

MBUNGE KIJA NTEMI ATOA SADAKA YA TENDE MISIKITI YA KATORO

Mbunge wa Jimbo la Katoro injinia Kija Limbu Ntemi Leo ametoa sadaka ya tende katika misikiti mbalimbali ya Jimbo hilo ikiwa ni sehemu ya kudumisha umoja na amani kama desturi ya Watanzania Injinia kija alisema kuwa ataendelea kusimamia suala la mshikamaano na kuhakikisha Kila mwananchi ana uhuru wa kuabudu kwa Imani yake. Katika hatua nyingine…

Read More

BALOZI LUVANDA AITAKA NCMC KUYAFIKIA MASOKO YA KIMATAIFA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Balozi Baraka Luvanda amekitaka Kituo cha Taifa cha Kufuatilia Kaboni (NCMC) kuimarisha na kupanua wigo wa ushiriki wa Tanzania katika masoko ya kimataifa ya kaboni. Amesema ushiriki huo upewe msukumo kupitia uhifadhi ya mazingira na miradi ya kaboni katika sekta zote za Uchumi wa buluu,…

Read More

Pesa za mke zinaweza kuvunja ndoa?

Mwanza. Fikiria hali hii: mke anapata mshahara mkubwa kuliko mume. Je, hiyo ni baraka kwa familia au mwanzo wa migogoro? Kwa miaka ya hivi karibuni, mada hii imezua mjadala mkubwa, hasa kufuatia kazi za kitafiti zinazodai kuwa ndoa ambazo mwanamke ndiye mtoa kipato mkuu,  zinaweza kuwa na hatari kubwa ya kuvunjika. Hata hivyo,  je, ni…

Read More

Nchimbi: Magufuli ameacha darasa la uongozi

Dar es Salaam/Chato. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema maisha na uongozi wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli yalikuwa darasa muhimu kwa viongozi na Watanzania kwa ujumla, akisisitiza kuwa namna bora ya kumuenzi ni kuishi na kutenda yale aliyoyaamini. Nchimbi ameyasema hayo leo Machi 17, 2026 alipozungumza baada ya misa takatifu…

Read More

Tausi FC wala haiwazi ubingwa, mipango ni hii

TAUSI FC imemtambulisha Baraka Kilasi kama moja ya makocha watakaounda benchi la ufundi akiungana na makocha wengine Wajerumani wawili ambao ni Paul Gomez na Martin. Kilasi ambaye ana uzoefu mkubwa katika ukocha amewahi kuwa kocha msaidizi wa Simba SC U20, Tazara FC ya Zambia na Young Boys FC inayoshiriki ligi kuu ya Zambia. Akizungumza na…

Read More

Kuchelewa matibabu kunavyochangia bodaboda kukatwa viungo

Dodoma. Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), wametaja sababu za wagonjwa wengi hasa madereva wa bodaboda au abiria wao kukatwa sehemu ya viungo vyao, ni kuchelewa kufika kwenye huduma. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Machi 2, 2026 na Mkurugenzi wa MOI, Dk Mpoki Ulisubisya wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utendaji…

Read More

Mjadala wa mafuta wakolea, yashuka soko la dunia

Dar/Dodoma. Wakati mjadala wa kupanda kwa bei za mafuta ukiendelea kushika kasi nchini, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kupunguza msururu wa magari katika misafara yake, ikiwa ni hatua ya kukabili matumizi ya nishati hiyo. Katika utekelezaji wa hatua hiyo, Rais Samia amesema wakuu wa idara mbalimbali wanaoongozana naye katika misafara wakiwa na magari yao, wote…

Read More