Latra yaongeza siku 14 kupokea maoni mapitio ya nauli mpya
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) imeongeza wiki mbili zaidi za kupokea maoni kutoka kwa wadau wa usafirishaji kuhusu mapitio ya nauli baada ya upandaji wa bei za mafuta ulioanza Aprili mosi, 2026. Aprili mosi, Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) ilitangaza ongezeko hilo la bei za mafuta,…