DTB yawapongeza wafanyakazi wanawake kwa mchango wao
Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026 yenye kauli mbiu ya “Give to Gain”, Diamond Trust Bank Tanzania (DTB) imetoa zawadi maalum kwa wafanyakazi wake wanawake kama ishara ya kutambua mchango wao muhimu katika mafanikio ya taasisi hiyo ya kifedha. Hatua hiyo inalenga kuhamasisha usawa wa kijinsia na kuendelea kujenga mazingira jumuishi…