Mvua zahatibu barabara, RC Mtambi aomba fedha za dharura

Musoma. Serikali ya Mkoa wa Mara imeomba Sh16 bilioni kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kugharamia matengenezo makubwa ya dharura ya barabara zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) mkoani humo. Ombi hilo limechochewa na uharibifu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, ambazo zimeelezwa kuwa hazikutarajiwa kwa…

Read More

‘Glimmer of hope’ nchini Haiti huku kukiwa na mabadiliko ya mstari wa mbele wa magenge – Masuala ya Ulimwenguni

Takriban watu milioni 1.4 wengi wao katika mji mkuu wa Port-au-Prince wamelazimika kuhama makwao kutokana na ghasia za magenge, na kusababisha kile ambacho Umoja wa Mataifa umesema. Mtaalam Mteule wa hali ya haki za binadamu nchini HaitiWilliam O’Neill, ameita “kiwango kisicho na kifani cha uhamaji wa ndani.” Akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu…

Read More

TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MKAA MBADALA KUZINGATIA VIWANGO

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wajasiriamali wanaozalisha nishati safi ya kupikia, hususan mkaa mbadala, mkoani Kigoma kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa zinazokidhi matakwa ya viwango. Mafunzo hayo yamelenga kuwasaidia wazalishaji hao kuboresha ubora wa mkaa mbadala wanaozalisha ili uweze kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya Tanzania….

Read More

Vivuko vya Gaza vimefungwa, mapigano nchini Sudan yaendelea, waathiriwa wa tetemeko la Afghanistan – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza katika kikao cha kawaida cha mchana mjini New York siku ya Jumatatu, Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric alisema kuwa mamlaka ya Israel imefunga vivuko vyote na kusimamisha harakati za kibinadamu. Mizunguko iliyopangwa ya wafanyikazi wa kibinadamu, uhamishaji wa matibabu na kurejea kwa watu huko Gaza pia kumesitishwa. ‘Mtiririko thabiti’ wa misaada muhimu…

Read More

DARAJA LA MKUYUNI LIMEANZA ‘KULIPA’

******* Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. Akizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo Machi 16, 2026, Ulega alisema wakazi wa Mwanza ni mashahidi wa hali hiyo hasa kufuatia matukio ya karibuni ya…

Read More

Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato

Dar es Salaam. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umeivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Tanzania, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa mali za kanisa na kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Mtendaji Mkuu wa…

Read More