Msifanye ndoa zenu kuwa maabara

Canada. Neno maabara si geni masikioni mwa wengi. Ni mahali pa majaribio, pa kupima nadharia, kutengeneza nyenzo na kuthibitisha uhalali wa jambo kabla halijapelekwa kwenye matumizi halisi. Mara nyingi, maabara huanzishwa kwa lengo maalumu; zikishatimiza kusudi au zikishindwa kufikia malengo, hufungwa. Ni katika taasisi za kisayansi pekee ambapo maabara huendelea kuwapo kwa sababu ya asili…

Read More

Sio Ibenge wala Pedro Dar es Salaam Dabi

LICHA ya kushuka dimbani ikiwa na safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na washambuliaji hatari wa Ligi Kuu Bara kwa sasa, Depu na Prince Dube, wenye jumla ya mabao 12, Yanga imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya lango baada ya kutopiga hata shuti moja lililolenga lango la Azam FC katika mchezo uliomalizika kwa suluhu. Mchezo huo…

Read More

Nyota Azam awekwa chini ya uangalizi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam, Nassor Saadun amewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wa kikosi hicho baada ya kutoonekana uwanjani kutokana na majeraha ya nyama za paja. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Azam, Mbaruku Mlinga, alisema mchezaji huyo amepata majeraha hayo ya kusumbuliwa na nyama za paja ndio maana hajaonekana uwanjani kwa muda sasa, ingawa maendeleo…

Read More

Ajali yaua wanne Rombo wakitokea matembezini

Rombo. Vijana wanne ambao ni mafundi ujenzi wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari aina ya Noah eneo la Shimbi, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. Vijana hao wenye umri kati ya miaka 19-20 ni wakazi wa Kijiji cha Shimbi Masho, Kata ya Kwa Ndele, walikuwa wanatokea matembezini. Akizungumza na…

Read More

Mashambulizi dhidi ya masinagogi, kuendelea kukiuka haki za Syria, unyanyasaji wa kushangaza wa wanawake wakati wa kujifungua – Masuala ya Ulimwenguni

Huko Ubelgiji, mlipuko mkubwa Jumatatu nje ya sinagogi la kihistoria huko Liege ulisababisha uharibifu mkubwa. Masinagogi matatu kote Kanada yalishambuliwa kwa risasi tofauti wiki iliyopita. Huko Merika, mshambuliaji alipigwa risasi na kufa baada ya kugonga lori lao kwenye sinagogi na shule yake ya mapema huko Michigan mnamo Alhamisi. Inasemekana kuwa amepoteza wanafamilia wake katika shambulizi…

Read More