Mahakama Kuu Yaamuru Kufungwa kwa Sahara Media Group Limited

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kufungwa kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited, iliyojishughulisha na vyombo vya habari, matangazo na huduma za uchapishaji, kutokana na hali mbaya ya kifedha. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Dk. Mwajuma Kadilu baada ya kuridhia ombi la kufilisi lililowasilishwa na kampuni yenyewe. Ombi hilo liliungwa mkono na kiapo cha…

Read More

Hesabu za Simba, Azam zikiifukuzia Yanga

MATOKEO ya mechi ya leo Alhamisi yataamua mshale wa Simba katika msimamo wa Ligi Kuu Bara upande hatua mbili juu au ubaki hapohapo huku kikosi hicho cha Steve Barker kikiwa na mtihani mbele ya Pamba Jiji. Ni mechi itakayochezwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dimba ambalo wenyeji Pamba Jiji msimu…

Read More

Vinara Ligi Daraja la Kwanza Unguja raha tu

VINARA wa Ligi Daraja la kwanza Kanda ya Unguja, Black Sailors, wamesema msimamo umekuwa hamasa nzuri ya kuanza mazoezi kwa ari zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Kocha Msaidizi, Said Mwinyi akisema amefurahishwa na namna wachezaji walivyoanza mazoezi kwa ari kubwa. Black Sailor inaongoza ligi hiyo kwa pointi 53 ilizovuna katika mechi 20 na kubakisha mechi…

Read More

OMO aonesha matumaini mazungumzo na Serikali Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewaondoa wasiwasi wanachama na wananchi, akiwataka wawe watulivu kwa kuwa mazungumzo ya kuleta suluhu ya kisiasa Zanzibar yanaendelea vizuri. Kauli ya Othman inakuja wakati ambapo chama chake kiko katikati ya mazungumzo na CCM na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusu mustakabali wa siasa na uamuzi wa…

Read More

VITA MASHARIKI YA KATI: Tujipange, bei ya mafuta kupaa

Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…

Read More