Waongoza watalii watakiwa kuchukua tahadhari
Serengeti. Wakati Serikali ikiendelea kuchukua hatua za kukabiliana na athari za mvua zinazoendelea kunyesha, waongoza watalii wametakiwa kuchukua tahadhari wanazopewa na vikosi vya uokozi katika maeneo korofi katika Hifadhi ya Taifa Serengeti. Mamkala ya hifadhi hiyo imesema itaendelea kuhakikisha shughuli za utalii zinaendelea kama kawaida huku usalama wa watumiaji wa barabara, wakiwemo watalii, wanaowaongoza na…