WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. ADOLF MKENDA AUPONGEZA UONGOZI WA MKINGA KUTENGA ENEO LA MJINI WA WANAZUONI GOMBERA
****** Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda ameupongeza uongozi Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kupitia Mwenyekiti wake Mhe.Amani Juma Kasinga kwa kutenga eneo la kujenga mji wa wanazuoni katika eneo hilo. Akizungumza mara baada ya kukamilisha ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo katika kampasi ya…