‘Miradi ya miundombinu ikamilike wa wakati’

Morogoro. Wakati mvua zikiendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Dunstan Kyobya, ametaka miradi ya miundombinu kukamilika kwa wakati ili kuepusha wananchi kukwama kwenye shughuli zao za kiuchumi. Jana Ijumaa, Februari 26, 2026 akiwa katika ziara ya kukagua hali ya barabara na madaraja, Kyobya amemuagiza mkandarasi anayejenga Daraja la Mto Mfuji lililopo…

Read More

Singida alenga ushindi dhidi Mbeya City

BAADA ya kudondosha pointi sita katika mechi mbili Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga na Simba, kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amewataka wachezaji wake kusahau matokeo hayo na kuelekeza nguvu katika mchezo dhidi ya Mbeya City. Ouma alisema licha ya kupoteza michezo hiyo migumu anaamini kikosi chake kilionyesha kiwango kizuri na kilistahili kupata…

Read More

Kaya zapiga hatua matumizi vyoo bora Ileje

Songwe. Kaya zenye vyoo bora wilayani Ileje Mkoani Songwe zimefikia asilimia 54 sawa na kaya 9,950 huku asilimia 0.2 sawa na kaya 234, hazina vyoo kabisa huku wananchi wakihimizwa kutumia vyoo vya kisasa kwa usalama wa afya zao. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 na Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi wakati wa…

Read More