Ilichokisema CCM mbele ya mwakilishi wa UN

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendeleza dhamira yake ya  muda mrefu wa kuheshimu utawala wa sheria, kidemokrasia na ushiriki wa kisiasa kwa njia za amani. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha-Rose Migiro wakati akikiwakilisha chama hicho katika mazungumzo na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja…

Read More

Mapinduzi ya Kahawa Mbinga Yawanufaisha Wakulima, Wawapongeza Wadau huku Wakiahidi Uzalishaji zaidi.

 Wakulima wa zao la kahawa wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma wameonyesha matumaini makubwa na jitihada pamoja na mikakati ya uboreshaji wa kilimo cha zao hilo wilayani humo huku wakiwashukuru wadau mbalimbali likiwemo serikali na shirika lisilo la kiserikali la Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) kwa jitihada zake hususani kwenye utoaji wa mafunzo ya mbinu bora za…

Read More

Walimu hawana miujiza kumbadili mwanao

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za leo, imezuka dhana potofu kwamba kazi ya kulea watoto ni ya walimu. Wazazi wengi wamejikuta wakitelekeza jukumu lao la msingi, wakikabidhi watoto wao kwa walimu kana kwamba shule ndiyo nyumba ya pili ya mtoto kwa kila jambo. Mtoto anaposhindwa kimaadili au kielimu, lawama huelekezwa kwa walimu kwa haraka mno,…

Read More

Ongezeko Kubwa la Matumizi ya Vita vya Marekani Huongeza Madeni, Ushuru, Mashaka – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni by Jomo Kwame Sundaram (kuala lumpur, Malaysia) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service KUALA LUMPUR, Malaysia, Februari 27 (IPS) – Wakati Rais wa Maŕekani Donald Trump anasukuma dunia kwenye vita, matumizi ya silaha yamekuwa yakipanda duniani kote. Vita hupata mgao zaidi wa bajeti, hasa kufaidika na tata ya kijeshi na viwanda inayotawaliwa na…

Read More

Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons

KOCHA mpya wa maafande wa TZ Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ amesema malengo makubwa aliyonayo kwa timu hiyo ni kuhakikisha timu hiyo inajinasua na janga la kushuka daraja, licha ya ushindani mkubwa uliopo msimu huu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Nsajigwa aliyeachana na Transit Camp inayoshiriki Ligi ya Championship msimu huu, alitambulishwa rasmi kukiongoza kikosi…

Read More

Boti yapinduka Ziwa Tanganyika, watumishi sita wa afya wafa maji

Kigoma. Watumishi sita wa Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, mkoani Kigoma wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka katika Ziwa Tanganyika. Watumishi hao walikuwa wakitoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga kutoa huduma ya chanjo walipokumbwa na ajali hiyo iliyosababishwa na upepo mkali uliosababisha mawimbi makubwa ziwani. Akizungumza katika eneo…

Read More