Ulaya na Muungano wa Kimataifa – Masuala ya Kimataifa

Wakati ambapo uhusiano wa kitamaduni wa kupita Atlantiki umedorora zaidi kuliko hapo awali—kwa kiasi kikubwa kutokana na msimamo wa karibu wa kulazimishwa wa mkazi wa sasa wa Ikulu ya White House na mzunguko wake—ni muhimu kwa Ulaya kuanzisha au kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika nyanja zote, ikiwa ni pamoja na katika biashara. Mkopo: EEAS Maoni…

Read More

Serikali yaonya watakaoficha mafuta kusubiri yapande bei

Dodoma. Serikali imesema haitawavumilia wafanyabiashara wa mafuta ya vyombo vya moto ikiwamo petroli, watakaotumia mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati, kuficha bidhaa hiyo wakisubiri ipande bei, ikisisitiza vitendo hivyo vinahatarisha upatikanaji wa nishati kwa wananchi. Sambamba na hilo, imeagiza kuundwa kwa kamati maalumu ya kufuatilia mwenendo wa uingizaji wa mafuta nchini, kuhakikisha yanafika kwa wakati kwa…

Read More

Ofisa wa benki ahukumiwa kulipa Sh152 milioni kwa wizi

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa ofisa wa benki ya Equity Tanzania Limited, Lilian Koka (27), kulipa fidia ya Sh152 milioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi. Mbali na adhabu hiyo, Koka ambaye ni mkazi wa Ukonga, amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi 12, akitakiwa kutotenda kosa lolote la…

Read More

Tanzania yatumia Sh23 bilioni kuagiza maziwa nje ya nchi

Morogoro. Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi. Hali hiyo inayochangiwa na changamoto za ubora ambapo miundombinu na elimu kwa wadau wa sekta maziwa ni vikwazo vinavyosababisha maziwa kukosa ubora. Akizungumza katika…

Read More

TAKUKURU Temeke llivyochukulia Hatua Kero ya Wananchi Buza

Bukos Richard February 27, 2026 0 Comments Dar es Salaam: 27 Machi 2026, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU wa Temeke jana umetoa taarifa kufuatia kero ya Wananchi wa Buza inayosambaa mitandaoni.Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari jana Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa TAKUKURU Temeke, Holle Makungu amesema kero ya wananchi…

Read More

Unafahamu chimbuko la Siku ya Wanawake Duniani?

Dar es Salaam. Kila mwaka ifikapo Machi 8, dunia huadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Katika nchi nyingi siku hii huambatana na mikutano, maandamano, kampeni za kijamii na tafakuri kuhusu mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii pamoja na changamoto zinazowakabili. Hata hivyo, nyuma ya maadhimisho haya kuna historia ndefu ya mapambano ya kijamii na kisiasa…

Read More

Sababu 10 Zinazoua Biashara Mpya Kabla Hazijafika Mwaka Mmoja

Kuanza biashara ni hatua ya ujasiri inayohitaji ndoto, mtaji na mipango. Hata hivyo, takwimu na uhalisia vinaonyesha kuwa zaidi ya nusu ya biashara mpya hufa ndani ya miaka miwili ya kwanza. Swali muhimu ni: Kwa nini watu wengi wanaanguka hata baada ya kuanzisha biashara waliyoamini inaweza kuwapa mafanikio? Makala hii inachambua chanzo cha changamoto hizo—ikiungwa…

Read More