Kiu ya ubingwa yaitesa KVZ

KATI ya timu za vikosi zinazoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) ambazo hazijawahi kubeba ubingwa wa ligi hiyo, KVZ ni mojawapo tangu kuanza kwa ligi hiyo mwaka 1984. Nyingine ni Uhamiaji. Akizungumza na Mwanaspoti, kiungo mshambuliaji wa KVZ, Seif Said Seif ‘Tiote’ amewasihi mshabiki kutochoka kuwasapoti kwani nao wanapambana kuhakikisha taji linapatikana. “Tunajua mashabiki wa KVZ…

Read More

Kizimbani kwa kujifnya mtumishi wa HESLB

Kigoma. Mkazi wa jijini Mbeya Nickolaus Komba (30), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, akikabiliwa na makosa manne, likiwamo la kujifanya Ofisa wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) na kuwatapeli watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Mtuhumiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Machi 6, 2026 mbele ya…

Read More

Ecobank Group Yaweka Rekodi ya Ongezeko la Mikopo kwa Biashara za Wanawake Afrika

Ecobank Group imetangaza ukuaji mkubwa wa mikopo, likilenga kuimarisha ujasiriamali wa wanawake barani Afrika. Ecobank imerekodi ongezeko kubwa la asilimia 194 katika utoaji wa mikopo kwa biashara zinazoongozwa na wanawake, likifikia dola za Marekani milioni 780 mwaka 2025 kutoka dola milioni 265 mwaka 2024. Hatua hii inaashiria mafanikio ya juhudi za benki hiyo katika kukuza usawa…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More

ENDELEENI KUIMARISHA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA.

Serikali imeitaka Taasisi ya Elimu Tanzania kuendelea kuimarisha ufuatiliaji wa tathimini ya utekelezaji wa  mitaala iliyoboreshwa ili kuleta matokeo chanya katika jamii. Hayo yamesemwa leo tarehe 4/3/2026 na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia  Mhe. Wanu Hafidh Ameir alipofanya ziara ya siku moja katika taasisi hiyo ili kupata uelewa wa majukumu mbalimbali yanayofanywa na…

Read More

Meneja wa Global Azungumzia Umuhimu wa Kuishi Kwa Maadili Baada ya Kifo cha Ssebo – Video

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho leo Machi 14, 2026 amesema kuwa kifo ni fumbo na kila mwanadamu anapaswa kujiandaa nacho kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kukikwepa. Mrisho ameyasema hayo kufuatia kumalizika kwa ibada ya kumuombea aliyekuwa mfanyabiashara maarufu Ssebo, iliyofanyika…

Read More

Iran Yatuhumiwa Kushambulia Meli za Mafuta Katika Ghuba ya Uajemi

Iran imetuhumiwa kushambulia meli mbili kubwa za mafuta katika Ghuba ya Uajemi kwa kutumia boti zilizokuwa zimebeba vilipuzi, tukio lililosababisha milipuko mikubwa na moto mkali uliowalazimu wafanyakazi wa meli hizo kukimbilia kuokoa maisha yao. Video ya tukio hilo inaonyesha moshi mzito mweusi ukipaa juu angani kutoka kwenye meli zilizokuwa zimebeba mafuta ya Iraq, huku moto…

Read More