Mamilioni ya Waafrika wako hatarini kupata kisukari

Wataalamu wanaonya kuwa ugonjwa huo unaweza kuwa utafiti zaidi zaidi ya watu katika miongo ijayo kama vyanzo vinavyosababisha havitafanyiwa kazi. Mlinzi Sibusiso Sithole, mwenye umri wa miaka 51, alipogunduliwa kuwa ana aina ya aina ya Type 2 miaka 13 ilikua mshtuko kwake. Alikuwa akitembea mail sita kila siku kwenda na kutoka kazini kila siku ,…

Read More

Chama la Samatta hatarini kushuka daraja

KLABU ya Le Havre AC anayoichezea mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta iko kwenye nafasi mbaya na hatari ya kushuka daraja kama haitashtuka mwishoni. Le Havre iko nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi, nafasi ambayo siyo salama kutokana na tofauti ndogo ya pointi na timu zinazopigania kubaki kwenye ligi hiyo. Timu hiyo imekusanya pointi 26…

Read More

TCAA YAANDAA IFTAR MAALUM KWA WATOTO WENYE UHITAJI

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeandaa futari maalum kwa watoto wenye uhitaji kutoka Kituo cha Kulea Watoto wenye Uhitaji cha Zili, tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii na kuendeleza ujumuishi kwa makundi yenye mahitaji maalum. Hafla hiyo ilifanyika katika Makao Makuu ya TCAA jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na wadau wa sekta…

Read More