Ukraine yageukia gesi ya Msumbiji kukabili uhaba
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameeleza mpango wake wa kutaka kuagiza gesi asilia kutoka Msumbiji ikiwa ni juhudi za kukabiliana na uhaba wa rasilimali hiyo nchini mwake, ambapo miundombinu yake imeharibiwa kutokana na vita dhidi ya Urusi. Zelensky amefanya mazungumzo na mwenzake wa Msumbiji, Rais Daniel Chapo, jana Jumatatu Machi 23, 2026 na kueleza hatua…