Mghana aingia anga za Singida BS
MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza kumfuatilia kiungo mshambuliaji wa Gor Mahia FC ya Kenya, Mghana, Enock Morrison, ambaye hadi sasa hakuna mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya huko alipo, baada ya huu wa sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Chanzo kutoka ndani ya timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Enock ni miongoni mwa wachezaji wanaofuatiliwa kwa…