Mghana aingia anga za Singida BS

MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza kumfuatilia kiungo mshambuliaji wa Gor Mahia FC ya Kenya, Mghana, Enock Morrison, ambaye hadi sasa hakuna mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya huko alipo, baada ya huu wa sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Chanzo kutoka ndani ya timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Enock ni miongoni mwa wachezaji wanaofuatiliwa kwa…

Read More

SERENGETI APPLE YANOGESHA PASAKA KWA MANDARI, LADHA NA VIBE YA KIPEKEE JIJINI DAR ES SALAAM

  ****** Kama sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka kote nchini, Serengeti Apple iliandaa premium brunch experience maalum iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, ikiwapatia wageni waalikwa uzoefu wa kipekee unaoendana na ari ya shamrashamra ya sikukuu. Likiwa limeandaliwa katika mazingira ya kifahari yenye mandhari tulivu na mpangilio…

Read More

Mojtaba Khamenei Achaguliwa Kuwa Kiongozi Mkuu Mpya wa Iran

Global Publishers March 9, 2026 0 Comments Tehran, Iran – Mwanazuoni wa Kiislamu Mojtaba Khamenei amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, akimrithi baba yake Ali Khamenei, aliyekuwa akiongoza taifa hilo kwa miongo kadhaa. Mojtaba Khamenei, mwenye umri wa miaka 56, ni mmoja wa wanazuoni wa Kiislamu waliopata elimu yao katika seminari maarufu ya Qom…

Read More

WANANCHI WA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

****** ‎Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa   ya Mpanda, Bw. Gwalusajo Kapande amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa hiyo utaleta mabadiliko chanya kwa wana Mpanda na wageni katika utoaji huduma na mahitaji mbalimbali ya usafiri na usafirishaji, mazingira bora ya shughuli za kiuchumi na ongezeko la mapato…

Read More

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Abeid Amani Karume katika maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Karume (Karume Day), Zanzibar.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hayati Abeid Amani Karume ikiwa ni miaka 54 tangu kuuawa kwake. Dua hiyo maalum imefanyika Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kisiwandui, Zanzibar tarehe 7…

Read More