Mishtuko ya Mafuta, Misukosuko ya Kisiasa na Suluhu Moja Serikali Huendelea Kupuuza – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marcelo Del Pozo/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Andrew Firmin (london) Jumatatu, Machi 16, 2026 Inter Press Service LONDON, Machi 16 (IPS) – Kwa mara nyingine tena, bei ya mafuta duniani inapanda, kutokana na vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran. Huku Iran ikilipiza kisasi kwa kushambulia miundombinu na vituo vya usafiri na…

Read More

Kachwele apelekwa HFX Wanderers | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Cyprian Kachwele amejiunga na Halifax Wanderers FC ya Ligi Kuu Canada kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Whitecaps FC 2. Mkataba huo unatamatika Desemba 31 mwaka huu na inaelezwa Kachwele amesajiliwa ili kukiongeza nguvu kikosi cha Wanderers. Inaelezwa sababu ya nyota huyo kutolewa kwa mkopo ni kumpa muda zaidi wa kupata…

Read More

Tanzania yawahakikishia wawekezaji mfumo bora wa kodi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imewahakikishia wawekezaji kuwepo kwa mazingira bora, ya haki na yanayotabirika katika mfumo wa kodi kufuatia dhamira ya kutekeleza kikamilifu mapendekezo 284 ya maboresho ya mfumo wa kodi yaliyoanzishwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Uhakikisho huo umetolewa wakati wa Mkutano wa Kubadilishana Uzoefu na Mafunzo ya Kodi kati ya Tanzania…

Read More