KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UJENZI WA MAJENGO YA KISASA YA CATC
***** Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa majengo ya kisasa ya Chuo cha Usafiri wa Anga (CATC) kinachojengwa katika eneo la Banana, Ukonga jijini Dar es Salaam, na kuipongeza Serikali kwa juhudi zake za kuimarisha miundombinu ya mafunzo ya sekta ya usafiri…