Kilio kipya walioungulia bidhaa Simu 2000
Dar es Salaam. Sakata la kuungua kwa Soko la Simu 2000, Ubungo jijini Dar es Salaam limeibua mahitaji tofauti miongoni mwa wafanyabiashara; wapo waliodai wako tayari kurudi sokoni hata kwa mitaji midogo iliyosalia, huku wengine wakisubiri huruma ya Serikali. Wakati wafanyabiashara wakiwa na mahitaji hayo tofauti, Serikali haijaweka wazi ni lini itatoa ruhusa kwa shughuli…