Airtel Divas Watoa Msaada kwa Watoto Wenye Mtindio wa Ubongo Madale
Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Dar es Salaam – Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania kupitia kundi lao la Airtel Divas wametembelea kituo cha kulea watoto wenye mtindio wa ubongo kinachoendeshwa na Dorcas Foundation kilichopo Madale jijini Dar es Salaam, na kutoa msaada kwa watoto wanaolelewa katika kituo hicho. Akizungumza wakati wa kupokea msaada…