Uchafu wazua taharuki mnada wa Maswa, wafanyabiashara walalamika

Maswa. Malalamiko ya wafanyabiashara na wananchi yameongezeka katika Mnada wa Maswa Mjini baada ya marundo ya taka kuonekana yakikaa kwa muda mrefu bila kuondolewa, hali inayodaiwa kuhatarisha afya za watu na kuharibu mazingira ya biashara katika eneo hilo. Licha ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kumpa mzabuni jukumu la ukusanyaji na uondoaji wa taka, wafanyabiashara…

Read More

TANZANIA YAADHIMISHA MIAKA 5 YA HAYATI DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Leo Tanzania inaadhimisha miaka mitano tangu kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita nhuku Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa ameshawasili tayari kuongoza maadhimisho hayo ya kitaifa. Maadhimisho haya yanatarajiwa kupambwa na Misa Takatifu itakayofanyika…

Read More

M/kiti CCM aonya maneno matamu kwenye shida ya maji

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Maji Duniani, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Joseph Masunga amewataka wasimamizi wa sekta ya maji kupunguza maneno mengi na michakato mirefu isiyo na majibu ya haraka kwa kero za maji zinazowakabili wananchi. Amesema wakati mwingine viongozi wanaosimamia sekta ya maji hutoa maelezo yanayoweza kuwaburudisha…

Read More

JIONI YA BARAKA FAMILIA YA OYA YASHIRIKI IFTAR NA JAMII

Taasisi ya Oya Micro-crediti imeandaa futari maalum kwa wateja wake na jamii kwa ujumla tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii. Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni wakati wa kutafakari, kushukuru, na kushirikiana na jamii katika kujitoa kwenye mambo mablimbali. Kwetu OYA, tunaamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi tu kwa ukuaji wa biashara, bali pia kwa mchango…

Read More

Migogoro inaendelea katika eneo lote huku kukiwa na migomo ya Marekani, Israel na Iran – Masuala ya Ulimwenguni

Picha ya Umoja wa Mataifa/Pasqual Gorriz Moshi watanda Beirut, Lebanon, kufuatia kuzuka kwa mapigano katika Mashariki ya Kati. Jumatano, Machi 04, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia katika Mashariki ya Kati zinaendelea hadi siku ya tano, huku mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mashambulizi ya makombora ya Iran na ndege zisizo…

Read More