Chadema yavunja ukimya bei ya mafuta, yataka mambo manne

Dar es Salaam. Wakati huduma mbalimbali zikiendelea kuathirika kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mapendekezo manne kuleta unafuu kwa wananchi katika huduma hiyo. Mapendekezo hayo ni Serikali kuweka ruzuku kwenye mafuta, kutangaza mpango wa dharura wa upatikanaji wa huduma hiyo, kuwepo kwa utaratibu wa uagizaji wake na…

Read More

Ushindi wampa jeuri Ndayiragije | Mwanaspoti

USHINDI mtamu nyie. Baada ya TRA United kupata ushindi wa mabao 4-1 mbele ya Fountain Gate, kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema matokeo hayo yametoa majibu ya kile alichokuwa anakifanyia kazi uwanja wa mazoezi kwa safu ya ushambuliaji na sasa anarudi kuanza na safu ya ulinzi ili kupunguza uwiano wa mabao ya kufunga…

Read More

Barker ataja sababu za kumuweka benchi Mpanzu

LICHA ya Elie Mpanzu kuonekana kupoteza nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza cha Simba kufuatia ujio wa Anicet Oura na Libasse Gueye, kocha wa timu hiyo, Steve Barker ameweka wazi kuwa bado ana imani kubwa na Mkongomani huyo, huku pia akitaja sababu ya kumuweka benchi. Mpanzu ambaye kwa kipindi cha karibuni amekuwa akitokea zaidi…

Read More