Lwakatare: Uamuzi wa Msajili umetenda haki CUF

Dar es Salaam. Makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wamesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wa kubatilisha uchaguzi wa ndani ya chama hicho, uliofanyika Desemba 18, 2024, umetenda haki kwa wanachama na wote waliogombea. Uchaguzi huo uliomweka madarakani Profesa Lipumba na wenzake watano, ulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa makada wengine…

Read More

Dk Mwigulu ataka uwazi kwenye fedha za miradi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezielekeza halmashauri zote kuweka wazi kuhusu fedha za miradi inayotekelezwa kwenye halmashauri husika kwa kile alichoeleza usiri unasababisha uchepushaji wa fedha za miradi. Dk Mwigulu ametoa maelekezo hayo leo Mchi 8,2026 wakati akizungumza na wananchi wa Laela mkoani Rukwa ambapo aliagiza kuanzia sasa taarifa za fedha za…

Read More

Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini. Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imempongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kwake kama Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ikisisitiza kwamba, kundi hilo Kiongozi la…

Read More

Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga

Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza. Matokeo hayo yameifanya Simba ipande hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 28 huku Pamba jiji ikibaki katika nafasi ya tano ikifikisha pointi 25….

Read More

NAIBU WAZIRI NISHATI AKUTANA NA MKURUGENZI WA GO PLANT TANZANI

……….. Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na Mkurugenzi wa Go Plant Tanzania Bw. Emmanuel Likida kwa lengo la kujadili namna ya kushirikiana katika maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri za Mkoa wa Dodoma.  Katika kikao hicho, pande zote mbili zimejadili umuhimu…

Read More

SERIKALI YAIMARISHA TAFITI, MATUMIZI YA TEHAMA SEKTA YA AFYA

Na WAF – Uingereza  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha juhudi za kukuza utafiti na ubunifu katika sekta ya afya ili kukabiliana na changamoto za ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) pamoja na magonjwa ya kuambukiza.  Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema hayo leo Machi 16, 2026 jijini London wakati akiwasilisha…

Read More

Wanasheria wajitosa kupambania haki za urithi kwa wanawake

Arusha. Umoja wa Wanasheria wa Pan-Africa (Palu) umeanza hatua za kutetea haki za urithi za wanawake wa Kiafrika wanaoishi katika ndoa zisizo rasmi, zinazojulikana kama “njoo tuishi,” pamoja na watoto wao ili kuhakikisha wanapata haki sawa za urithi. Hatua hiyo imeanza leo Machi 17, 2026 jijini Arusha baada ya Palu kuwasilisha hati ya kuomba mwongozo…

Read More