Watu Wawili Wafariki Katika Ajali ya Ndege Kugonga Gari la Uokoaji
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Ajali mbaya imetokea katika Uwanja wa Ndege wa LaGuardia uliopo New York, baada ya ndege ya shirika la Air Canada kugongana na gari la uokoaji wakati wa kutua usiku wa manane. Kwa mujibu wa taarifa za awali, ndege hiyo iliyokuwa ikitoka Montreal ilitua majira ya saa 11:40 usiku,…