CCM YATOA MAPENDEKEZO MAZITO KULINDA WANANCHI
…….. Na Carlos Claudio, Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeitaka serikali kuchukua hatua za haraka na madhubuti kulinda uchumi wa wananchi kufuatia kupanda kwa bei za mafuta nchini na duniani kwa ujumla. Akizungumza na waandishi wa habari Aprili 7, 2026 jijini Dodoma, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Kihongosi, amesema chama hicho…