WANANCHI ZAIDI YA 13,000 WANUFAIKA NA SAMIA ARDHI KLINIKI NCHINI

Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Leonard Akwilapoamesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo wakati akifunga rasmi Samia Ardhi Kliniki katika viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara tarehe 7…

Read More

TRA KUWEKA UTARATIBU MPYA WA KUTOA VIBALI VYA KUINGIZA MAFUTA YA KUPIKIA TANZANIA BARA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mamlaka hiyo itaanzisha utaratibu mpya wa kuingiza mafuta ya kupikia Tanzania Bara kutoka Zanzibar ili kuwezesha kufanyika kwa biashara halali ya mafuta hayo na kuzuia mafuta ya magendo kuingizwa nchini. Akizungumza na wafanyabiashara wanaoagiza mafuta ya kupikia nje ya nchi kupitia Visiwani…

Read More

Twiga Stars kurejea leo | Mwanaspoti

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars, kinarejea leo kutokea Falme za Kiarabu kilipokita kambi kwa ajili ya kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Twiga Stars ilikuwa UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON 2026 yaliyotarajiwa kuanza…

Read More

Wananchi Dar Wahimizwa Kutumia Fursa ya Samia Ardhi Kliniki

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameiomba Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kusimamia kikamilifu utoaji wa hati za ardhi ili kuhakikisha zinazingatia taratibu na mipango miji, akisema kuwa uzembe katika mchakato huo unachangia kuongezeka kwa migogoro ya ardhi. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa programu ya Samia Ardhi…

Read More

Chalamila avalia njuga matukio ya utapeli Dar

Dar es Salaam. Kama wewe sio mwenyeji wa Mkoa wa Dar es Salaam na unataka kununua ardhi, magari au kuchukua mkopo wa fedha, chukua tahadhari, kwani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametaja maeneo hayo kuongoza kwa matukio ya utapeli. Chalamila amesema waathirika wakubwa wa migogoro hiyo ya ardhi mkoani humo ni…

Read More

NELLA ANNOUNCES NEW SINGLE “LUKAKU” — THE AFROFUSION ANTHEM THAT POSITIONS HER AS ONE TO WATCH

Cameroon-born, LA-raised Afrofusion artist releases her most personal work yet — a mid-tempo empowerment anthem produced by acclaimed producer Mystro Sugar and mixed by Grammy-nominated mixing engineer Giggz LOS ANGELES, CA — March 6, 2026 — Nella, the Cameroonian-born, Bamiléké Afrofusion artist raising from Los Angeles and Houston, today announces the release of her new…

Read More

FORLAND YAHAMASISHA MATUMIZI YA MITI MINGINE YA ASILI

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv WIZARA ya Maliasili na Utalii, kupitia mradi wa FORLAND, imesema inaendelea kuhamasisha matumizi ya miti mingine ya asili tofauti na inayojulikana sasa ya Mninga na Mkongo. Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho ya siku misitu, yanayoendelea kwenye viwanja vya Ilulu vilivyopo Manispaa ya Lindi, mkoani humo, Afisa misitu na…

Read More