Nani Kwenda Robo Fainali UEFA Leo?
LEO ni leo asemaye kesho muongo, Huu ni msemo ambao Wahenga walimaanisha kuwa jambo linalotakiwa kufanyika leo limailzike leo, na Meridianbet wanakwambia pesa inapatikana kwenye mechi za Uefa leo hivyo ingia na ubeti hapa. Mapema kabisa Sporting Lisbon atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Bodo/Glimt ambao walishinda mechi yao ya kwanza walipokutana. Mlima ni mrefu wa kushinda…