Haya hapa maeneo muhimu kukuza sekta ya fedha

Dar es Salaam. Serikali imeainisha maeneo nane ya kipaumbele ndani ya sekta ya fedha ambayo yakitumika ipasavyo kwa ushirikiano na sekta binafsi yanaweza kuharakisha ukuaji wa uchumi. Maeneo hayo ni pamoja na ufadhili wa tabianchi, mabadiliko ya tabianchi, huduma za kifedha za Kiislamu, udhibiti wa mali za kidijitali, upatikanaji wa mitaji kwa biashara changa na…

Read More

Tausi FC wala haiwazi ubingwa, mipango ni hii

TAUSI FC imemtambulisha Baraka Kilasi kama moja ya makocha watakaounda benchi la ufundi akiungana na makocha wengine Wajerumani wawili ambao ni Paul Gomez na Martin. Kilasi ambaye ana uzoefu mkubwa katika ukocha amewahi kuwa kocha msaidizi wa Simba SC U20, Tazara FC ya Zambia na Young Boys FC inayoshiriki ligi kuu ya Zambia. Akizungumza na…

Read More

Dk Mwigulu awaka, aagiza mnyororo usambazaji dawa uchunguzwe

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza kufanyika uchunguzi wa haraka katika vituo vya afya vya Wilaya ya Mpimbwe mkoani Katavi, kufuatia kubainika wananchi wengi wanaelekezwa kununua dawa katika maduka ya nje, licha ya taarifa za Serikali kuonyesha dawa za kutosha zinapatikana hospitalini. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara eneo la Kibaoni ambako anaendelea…

Read More

Mke wa Trump Akanusha Kuwa na Uhusiano na Epstein Baada ya Nyaraka Kuibuka

Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump. Mke wa Rais wa Marekani, Melania Trump, amekanusha vikali madai yanayomhusisha na mfanyabiashara marehemu Jeffrey Epstein pamoja na mshirika wake Ghislaine Maxwell, akiyaita madai hayo kuwa ni “uongo na uchafuzi wa jina lake.” Kauli hiyo imekuja baada ya kuibuka kwa nyaraka zilizotolewa na U.S. Department of Justice, zikionyesha…

Read More

Nafasi 24 za Kazi TIA na TMA, Mwisho wa Maombi Aprili 14, 2026

Global Publishers April 5, 2026 0 Comments Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS), imetangaza nafasi 24 za ajira kwa niaba ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Nafasi zilizotangazwa: 1. Tanzania Institute of Accountancy (TIA) Assistant Lecturer (Procurement & Logistics Management) – Nafasi…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuendeleza juhudi za kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki na usawa ili kuchochea maendeleo jumuishi ya Taifa. Rais Samia ametoa wito huo leo Machi 8, 2026 katika ujumbe wake kwa Taifa wa  maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akieleza  siku hii ni muhimu kwa kutambua mchango mkubwa…

Read More