Washambuliaji Yanga wapewa kazi nzito baada ya majeraha
BAADA ya kukaa nje kwa muda kutokana na majeraha, hivi sasa Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ wameanza mazoezi mepesi na wakati wowote watarejea uwanjani. Lakini, kutokana na hilo, Kocha Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves amewapa kazi mpya kuifanya washambuliaji hao akitaka mmoja kati yao achukue tuzo ya mfungaji bora msimu huu Ligi Kuu Bara….