Washambuliaji Yanga wapewa kazi nzito baada ya majeraha

BAADA ya kukaa nje kwa muda kutokana na majeraha, hivi sasa Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ wameanza mazoezi mepesi na wakati wowote watarejea uwanjani. Lakini, kutokana na hilo, Kocha Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves amewapa kazi mpya kuifanya washambuliaji hao akitaka mmoja kati yao achukue tuzo ya mfungaji bora msimu huu Ligi Kuu Bara….

Read More

Namba zambeba Depu, amfunika Sowah

STRAIKA mpya wa Yanga, Laurindo Dilson Aurelio ‘Depu’ ameendelea kudhihirisha sio mtu wa mchezo mchezo kutokana na kasi yake ya ufungaji mabao Ligi Kuu Bara, akifunika mastaa kadhaa waliowahi kusajiliwa dirisha dogo na kutisha kwa kutupia mipira kambani. …

Read More

Maafisa Elimu Kata Wapewa Mbinu za Kusimamia Shule kwa Ufanisi

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) itaendelea kutoa fursa za mafunzo endelevu ya viongozi wa elimu wa ngazi mbalimbali na wadau wengine wa elimu ili waweze kuimarisha uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kwa ajili ya utoaji wa elimu bora nchini.  Ameyasema hayo Mkurugenzi wa Elimu msingi, Abdul Maulid wakati akimwakilisha…

Read More

Simba yafika uwanjani, yatumia mlango usio rasmi

Kikosi cha Simba kimewasili Uwanja wa New Amaan Complex saa 12:37 jioni tayari kwa mchezo wa Dabi ya Kariakoo utakaopigwa kuanzia saa 2:15 Usiku. Katika hali ya kushangaza, kikosi hicho kimetumia mlango usio rasmi kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na kikitumia mlango wa VIP ambapo ni kinyume na utaratibu. Bodi ya Ligi wakati inafanya…

Read More

Januari Makamba Atoa futari kwa taasisi za dini Tanga.

Na Mashaka Mhando, TANGA MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametoa msaada wa futari kwa taasisi nane za kidini jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Zoezi hilo lililofanyika Leo Machi 16 Jijini Tanga, limenufaisha taasisi za TAMTA, Maawal Chumbageni, Zahara Rashad, Shamsi…

Read More

Chaumma yaanza kuifumua katiba yake

Dar es Salaam. Wakati mjadala wa Katiba mpya ukiendelea kushika kasi, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimezindua operesheni ya kuandika upya katiba yake, hatua inayokwenda sambamba na kuhamasisha uelewa wa umma kuhusu mabadiliko ya Katiba ya nchi. Katika utekelezaji wa mkakati huo unaolenga chama kujijenga kisiasa, Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu ametangaza…

Read More