HELLEN NKALANG’ANGO: Mama anayepambania kuona watoto wenye uziwi wakipata elimu
Dar es Salaam. “Mwaka 1980 nilijifungua mtoto ambaye baadaye niligundua hasikuu. Nilipohitaji kumpeleka shule, nilikumbana na changamoto kubwa kwa kuwa mkoani Morogoro hakukuwa na shule iliyoweza kumpokea kutokana na hali yake ua uziwi. Shule pekee niliyoipata ilikuwa ya Buguruni Viziwi, iliyopo Dar es Salaam,” anaanza kusimulia Hellen Nkalang’ango. Ameyasema hayo baada ya kufanya mahojiano na…