66 wapoteza maisha ajali ya ndege Colombia
Watu wasiopungua 66 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi kuanguka muda mfupi baada ya kupaa nchini Colombia, magharibi mwa msitu wa Amazon. Ndege hiyo ya kijeshi iliyokuwa imebeba watu 128, wengi wao wakiwa wanajeshi, imeanguka karibu na mji wa Puerto Leguizamo na kusababisha vifo hivyo huku wengine kadhaa wakijeruhiwa. Mkuu wa majeshi ya Colombia,…