UN yaomboleza mwanadiplomasia wa katiba aliyegeuka kuwa mwanadiplomasia mkuu wa mgogoro, Nicholas Haysom – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanasheria huyo mashuhuri na mwanadiplomasia kutoka Afrika Kusini aliteuliwa Januari 2021 na alikuwa na taaluma ya kimataifa kwa muda mrefu akizingatia utawala wa kidemokrasia, mageuzi ya kikatiba na uchaguzi, upatanisho na kusaidia michakato ya amani. Pia alikuwa Mshauri Mkuu wa Kisheria katika kipindi chote cha urais wa Nelson Mandela hadi 1999. Hapo awali Bw. Haysom…

Read More

Simba mambo magumu, Dabi ya Mzizima ikiisha bila mbabe

Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam ndiko ulikopigwa mchezo wa dabi ya Mzizima iliozikutanisha Azam FC na Simba katika kampeni ya kusaka taji la Ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Katika mtanange huo mkali, ulianza kwa kasi sana timu zote zikishambuliana kabla ya Azam kuutawala mchezo zaidi katika kipindi hicho. Matajiri hao…

Read More

Rais Kagame atoa ujumbe akitahadharisha maisha ya chuki

Kigali. Rwanda imeanza rasmi maadhimisho ya miaka 32 tangu kutokea kwa mauaji ya Kimbari dhidi ya Watutsi ya Aprili 7, 1994, tukio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu milioni moja ndani ya kipindi cha siku 100. Maadhimisho hayo yameanza leo huku wananchi wa taifa hilo wakiongozwa na Rais wao, Paul Kagame, wakiingia katika kipindi cha…

Read More

Sasa utaweza ‘ku-edit comment’ yako Instagram

Dar es Salaam. Mtandao wa kijamii wa Instagram umetangaza kuja na kipengele kipya ambacho kitawawezesha watumiaji wake kufanya marekebisho ya maoni wanayoyaandika kwenye machapisho mbalimbali. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni majibu ya hitaji la muda mrefu la watumiaji wa mtandao huo ambao awali walilazimika kufuta maoni yaliyokuwa na makosa na kuandika upya. Hata hivyo, huduma…

Read More

Muya ataka mechi za kirafiki Coastal

KOCHA wa Coastal Union Mohamed Muya ameweka wazi mkakati wake kuelekea kipindi hiki cha mapumziko, huku akisisitiza umuhimu wa kucheza mechi za kirafiki ili kujiweka sawa kabla ya kurejea kwenye ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti alisema kuwa, mapumziko haya hayapaswi kuwa ya kupoteza muda, bali ni fursa ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza katika michezo iliyopita na kuimarisha…

Read More

Dk Nchimbi aitaka wizara ya maji kushirikiana na sekta binafsi kutatua changamoto ya maji

Morogoro. Makamu wa Rais Balozi, Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka menejimenti ya Wizara ya Maji kujenga ushirikiano na sekta binafsi ili kushughulikia changamoto za upatikanaji na upotevu wa maji, ili dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtua “mama ndoo kichwani” iweze kutekelezeka. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo wakati akifunga kilele cha maadhimisho ya Wiki ya…

Read More