CAG afichua mambo mawili kirusi kwa mashirika ya umma

Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema mashirika 22 kati ya 54, sawa na asilimia 41, yanaendelea kujiendesha kwa hasara kutokana na uwekezaji usio na tija, gharama kubwa za uendeshaji na udhaifu wa mifumo ya udhibiti wa ndani. Akiwasilisha ripoti ya ukaguzi wa mwaka wa fedha 2024/25…

Read More

Waandamanaji wa Irani waliofungwa wanakabiliwa na hukumu ya kunyongwa ‘haraka’ – Global Issues

The Ujumbe Huru wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli (FFM) kuhusu Iranambayo iliundwa na Baraza mnamo 2022, ilisema ina wasiwasi mkubwa juu ya ulinzi wa wafungwa, pamoja na kuongezeka kwa ghasia zinazoendelea kuathiri Lebanon na Mataifa mengi ya Ghuba. Jopo la wataalam huru wa haki walitaja ripoti za kuaminika “kwamba wengi (wafungwa nchini Iran) wako katika…

Read More

Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Nakumbuka mwalimu wangu wa somo la Uraia (Civics) alipokuwa akitufundisha mada (topic) ya “Haki za “Binadamu” (Human Rights) tulipokuwa Kidato cha Kwanza, alituambia mengi kuhusu haki za binadamu.  Miongoni mwa mikazo yake, alituambia hivi: Haki ya kuishi (Right to life) ndiyo haki kubwa kuliko zote maana mtu anapokuwa hai ndipo anakuwa…

Read More

Vikwazo kwa zao la tende vyawekwa hadharani, wanaume wakitajwa kuongeza thamani

Dodoma. Changamoto ya upatikanaji wa miche bora ya tende pamoja na masharti yanayowekwa na nchi zinazolima zao hilo zimetajwa kuwa miongoni mwa vikwazo vinavyokwamisha ukuaji wa kilimo cha tende nchini. Kutokana na vikwazo hivyo, wakulima wengi wameendelea kutumia mbegu za zamani, ambazo zinaelezwa kuwa hazina tija katika kipindi hiki. Hali hii inajitokeza wakati mahitaji ya…

Read More

KITILA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI UBUNGO

Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akimzungumza wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge kwa kushirikiana na Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) ****** Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

Ulaji wadudu unavyopata umaarufu | Mwananchi

Dar es Salaam.  Katika dunia inayokabiliwa na changamoto za uhaba wa chakula na lishe duni, wataalamu wa afya na lishe wameendelea kuangazia ulaji wa wadudu kama suluhisho mbadala lenye manufaa makubwa kiafya.  Ingawa kwa baadhi ya jamii ulaji wa wadudu bado huonekana kuwa jambo geni, ukweli ni kwamba kwa muda mrefu wadudu wamekuwa sehemu ya…

Read More

The Blood of Sudan Must Never Be Silenced

By Moses Ntandu, Dar es Salaam, Tanzania On the land of Sudan, this month of Ramadan has not arrived with peace or hope. Instead, it has come to a country exhausted by war, torn apart by pain, and immersed in the grief of thousands of families who have lost their loved ones. The capital city,…

Read More

Singano aendeleza historia Mexico | Mwanaspoti

BEKI wa Tanzania, Julietha Singano ameandika rekodi ya kuwa miongoni mwa wachezaji waliocheza mechi nyingi katika kikosi cha FC Juarez Femenil kinachoshiriki ligi ya wanawake ya Mexico. Singano ambaye ni beki tegemeo wa timu hiyo, ameonyesha uimara mkubwa tangu alipojiunga na klabu hiyo, akifanikiwa kucheza jumla ya mechi 103 katika ligi. Katika kipindi hicho, beki…

Read More