Hili la chakula shuleni, wazazi na wadau tuungane kwa pamoja

……. Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Chakula, mavazi na malazi ni mahitaji muhimu ya binadamu (basic needs). Ni mahitaji ambayo maisha ya binadamu hayawezi kwenda bila kuwa nayo, ndiyo maana watu wanapambana kupitia shughuli mbalimbali za kiuchumi kama kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, ujasiriamali kuhakikisha mahitaji haya yanapatikana katika ngazi ya familia ili kufurahia maisha. Katika…

Read More

PROF. KABUDI AWAHIMIZA DIASPORA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) kuendelea kuwekeza nchini na kushiriki kikamilifu katika juhudi za maendeleo ya taifa.  Amesema Watanzania walioko ughaibuni wana nafasi kubwa ya kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi kupitia mitaji, utaalamu na uzoefu walioupata nje ya nchi. Prof….

Read More

BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA BALOZI WA ETHIOPIA KUJADILI USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA ETHIOPIA

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Mhe. Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ethiopia nchini Zimbabwe, Mhe. Rashid Mohammed Abdulwahid, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Ethiopia. Katika mazungumzo hayo, Balozi Kaganda aliishukuru Serikali ya Ethiopia kwa kuendelea kudumisha urafiki wa muda mrefu na…

Read More

Jifunze Kilimo cha Strawberry Aina, Mbinu na Faida

Strawberry (fukisadi) ni moja ya matunda yanayolimwa kwa faida kubwa, hasa kutokana na mahitaji yake ya soko la ndani na kimataifa. Zao hili hustawi vizuri katika maeneo yenye joto la wastani na linafanya vizuri zaidi likilimwa kwa mfumo wa kisasa kama vile green house. Kwa ujumla, strawberry hukua vizuri katika maeneo yenye mwinuko wa kuanzia…

Read More

Ijue Historia ya Mwanamke Mbaya Zaidi Duniani

Katika historia ya dunia kuna hadithi nyingi ambazo zinaonyesha jinsi binadamu wanaweza kuvumilia maumivu makubwa kwa ajili ya wale wanaowapenda. Moja ya hadithi hizo ni ya Mary Ann Bevan, mwanamke kutoka Uingereza ambaye aliwahi kuitwa kwa jina la kikatili “mwanamke mbaya zaidi duniani.” Lakini nyuma ya jina hilo kulikuwa na ukweli tofauti kabisa hadithi ya…

Read More