Rais wa Iran Alaani Kauli za Trump Dhidi ya Papa Leo XIV

Global Publishers April 14, 2026 0 Comments Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian. Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amejiingiza katika mjadala unaoendelea kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo XIV, kwa kulaani vikali kauli za Trump dhidi ya Papa. Kupitia ujumbe wake kwenye mitandao ya kijamii, Pezeshkian alisema…

Read More

Askofu Barron Amtaka Trump Kumuomba Radhi Papa Leo XIV

Global Publishers April 14, 2026 0 Comments Askofu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani, Robert Barron, amesema Rais wa Marekani Donald Trump anapaswa kumuomba radhi Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Pope Leo XIV, kufuatia kauli kali alizotoa dhidi yake kupitia mitandao ya kijamii. Akizungumza kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Askofu Barron alieleza kuwa kauli…

Read More

Pipijojo Aachia Video ya “Siachiki” Kazi Yake Ya Kwanza Chini ya Nandy

Global Publishers April 14, 2026 0 Comments Msanii Pipijojo ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa “Siachiki”, ikiwa ni kazi yake ya kwanza tangu kujiunga na lebo ya The African Princess inayomilikiwa na mwimbaji Faustina Mfinanga maarufu Nandy. Wimbo huo umebeba ujumbe wa uthabiti, kujituma na msimamo wa kuendelea kushikilia unachokiamini bila kuyumbishwa na changamoto….

Read More

Sakata la Sowah Simba lawaibua vigogo wawili

BADO hakuna mwanga mzuri kwenye sakata la mshambuliaji Jonathan Sowah ambaye inaelezwa ameandika barua ya kutaka kuachana na Simba baada ya kusimamishwa na mabosi wa klabu hiyo, lakini sakata hilo limewaibua watu wawili wakiwa shauri Wekundu hao wa Msimbazi. Tuanze na Evance Adotey ambaye ni kocha wa mwisho kuja na Sowah hapa nchini wakiwa wanafanya…

Read More