Simba kuna mawili, Barker aifungia busta Namungo

WAKATI Simba ikijiandaa kucheza dhidi ya Namungo huko kusini mwa Tanzania, kocha wa kikosi hicho, Steve Barker amekuja na mambo mawili, kwanza amewachimba mkwara mastaa wake, piliĀ  amefurahia urejeo wa Shomary Kapombe na Yusuph Kagoma. Kapombe na Kagoma walikosekana katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Bara ambao Simba iliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi…

Read More

Mshirikishe Mungu migogoro inapoinuka kwenye familia

Bwana Yesu asifiwe, karibu katika mahubiri ya leo Jumapili. Ninaitwa Mchungaji Gasper Madumla, maandiko yanatuonesha picha ya kusikitisha ambapo Esau anamchukia ndugu yake Yakobo kwa sababu ya baraka. Mwanzo 27:41. Chuki hii ilifikia kiwango cha kutaka kuua. Hii inaonesha kuwa hata ndani ya familia, mahali panapotakiwa kuwa na upendo na amani, migogoro inaweza kuinuka na…

Read More

Winga Mgambia atajwa Yanga SC

YANGA inadaiwa kufanya mazungumzo na winga wa Singida Black Stars, Lamin Jarjou kwa ajili ya kumsajili msimu ujao wa 2026/27 baada ya kuonyesha kiwango cha juu katika mechi za Ligi Kuu Bara msimu huu. Jarjou ambaye anamuweka benchi Offen Chikola aliyejiunga na Singida BS kwa mkopo kutoka Yanga hadi sasa amefunga bao moja na asisti…

Read More

Trump: Iran Haiwezi Kutuogopesha Kwa Kufunga Mlango wa Hormuz

Global Publishers April 19, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani haitakubali kushinikizwa wala kuwekewa masharti na Iran, huku akisisitiza msimamo mkali wa taifa hilo katika masuala ya usalama na diplomasia ya kimataifa. Akizungumza katika Ikulu ya White House (Oval Office) kabla ya kusaini maagizo ya kiutendaji, Trump alieleza kuwa kuna…

Read More