Misheni za kulinda amani za Umoja wa Mataifa zinakabiliwa na matatizo huku kupunguzwa kwa ufadhili na vitisho vipya vikiongezeka – Masuala ya Ulimwenguni

Akitoa maelezo kwa mabalozi nchini Baraza la UsalamaMaafisa wakuu wa Makao Makuu na nyanjani walionya kuwa misheni za kulinda amani ziko chini ya mkazo unaoongezeka, kama vikwazo vya kifedha, mabadiliko ya mienendo ya migogoro na kuongezeka kwa hatari za uendeshaji huleta changamoto kwa uwezo wao wa kulinda raia na kuendeleza mafanikio dhaifu.. “Operesheni zetu za…

Read More

Umoja wa Mataifa wakutana kuhusu mgogoro wa Hormuz wa China na Urusi huku vita vya Lebanon vikiendelea – Masuala ya Ulimwenguni

© UNHCR/Houssam Hariri Uharibifu katika kitongoji cha Beirut kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Israeli (faili). Alhamisi, Aprili 16, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Vita nchini Lebanon vinaendelea huku kukiwa na hali tete ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran huku kukiwa na matumaini ya kuwepo mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Israel…

Read More

Chuo Kikuu cha Mtandaoni Chatupa Njia ya Maisha kwa Wanawake wa Afghanistan Waliofungiwa Elimu – Masuala ya Ulimwenguni

Tangu Taliban warudi madarakani, wanawake na wasichana wamepigwa marufuku hatua kwa hatua kutoka kwa elimu, maeneo ya umma, na aina nyingi za ajira. Credit: Learning Together. na Chanzo cha Nje (kabul) Alhamisi, Aprili 16, 2026 Inter Press Service KABUL, Aprili 16 (IPS) – Tangu utotoni, ndoto ya Khatera (siyo jina lake halisi) ilikuwa kusomea udaktari…

Read More

Mbeya City yaachana na Maxime baada ya siku 130

UONGOZI wa Klabu ya Mbeya City, umetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kusitisha mkataba wa Kocha Mecky Maxime pamoja na wasaidizi wake ambao ni Nizar Khalfa (Kocha Msaidizi) na Francis Mkanula (Kocha wa Utimamu wa Mwili). Uamuzi huo umefanyika Aprili 16, 2026 ikiwa ni saa chache baada ya Mbeya City kupokea kipigo cha…

Read More

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MGUU SAWA KUELEKEA AFCON 2027

WIZARA ya Maliasili na Utalii imewahakikishia wawekezaji na Wadau wa michezo ushirikiano wa kutosha kuwezesha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ili kuongeza thamani ya vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini. Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Utalii, Bw. Nkoba Mabula ameyasema hayo alipokutana na kuzungumza na mmiliki wa Kampuni ya Tilo World Properties Holding Limited…

Read More

MALIASILI YAPELEKA KILIO UTAMADUNI, MASHTAKA

………. Na. Sixmund Begashe, Njombe  Timu ya Mchezo wa kuvuta kamba ya Wanaume na wanawake ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeiburuza bila huruma timu pinzani za Utamaduni na Mashtaka 2-0 katika michezo ya Mei Mosi iliyoanza kurindima Mkoani Njombe.  Akizungumza baada ya michuano hiyo, Mwenyekiti wa Maliasili Sports Club Bw. Elia Mutalemwa amesema kuwa,…

Read More

PROF. SHEMDOE AWATAKA WAKUU WA MIKOA KUSIMAMIA HALMASHAURI ZIWE NA MIPANGO MADHUBUTI YA KUZALISHA NAFAKA NA MAZAO

******* Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora. Prof. Shemdoe ametoa wito huo leo Aprili 16, 2026 jijini Dodoma katika…

Read More

Daladala zakatisha safari Arusha, abiria walalamika nauli kuongezeka

Arusha. Wananchi wa Jiji la Arusha wameilalamikia tabia ya baadhi ya madereva wa daladala kukatisha safari, wakisema inaongeza gharama za usafiri na kuwaumiza kiuchumi, hasa katika kipindi ambacho nauli zimepanda bila mwongozo rasmi. Wakizungumza na Mwananchi leo, Aprili 16, 2026, wakazi hao wameiomba Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) kuingilia kati hali hiyo na kuwalazimisha…

Read More