Makalla amzawadia Chobwedo njumu, amtaka kuendelea kupambana
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Gabriel Makalla leo Jumanne Aprili 21, 2026 amekutana na kumpatia zawadi ya viatu winga wa TRA United, Ramadhan Salum “’Chobwedo’, akimsifu kwa kiwango kizuri alichokionesha katika michezo ya Ligi Kuu ya NBC. Makalla ambaye pia ni mlezi wa timu hiyo, yenye makazi yake Arusha, amesema Chobwedo ameonesha kiwango kizuri…