Sintofahamu yatanda uwanja wa dabi Mei 3

MEI 3, 2026, Simba itakuwa mwenyeji wa Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara ambayo kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), itachezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni. Wakati ratiba ikisema hivyo, kumekuwa na hali ya sintofahamu ya matumizi ya Uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Mambo Matano Yanayoumiza Wengi Katika Uhusiano

  KUNA mambo mengi ambayo husababisha wenye uhusiano kuumia roho zao. Leo tuyayaeleza mambo hayo kama ifuatavyo: KUFICHA MAMBO Kuna jambo hata ukijaribu kulificha, ukweli wake utajulikana tu hususan kama utakuwa na mahusiano ya muda mrefu na mtu husika. Jambo hilo ni kiukweli, kama unampenda kwa dhati mwenza wako, hutakiwa kumficha jambo, liwe baya au…

Read More