Abdul Kakwaya atamba kufanya makubwa BDL

NYOTA wa kikapu, Abdul Kakwaya amesema kwa sasa anasikilizia timu itakayohitaji huduma yake huku akiendelea kujifua kwa ajili ya ligi ya DBL. Kakwaya ambaye ni nyota wa zamani wa Vijana ‘City Bulls’, amesema kwa sasa anajifua na DB Oratory pamoja na kufanya mazoezi binafsi kila siku ili kujiweka fiti. Amesema amekuwa akifanya mazoezi ya kukimbia…

Read More

Hesabu za Minziro Fountain Gate zaanzia kwa Simba

BAADA ya kukabidhiwa majukumu ya kuiongoza Fountain Gate, Fred Felix ‘Minziro’ na benchi lake la ufundi wanatarajia kuanza mtihani wao Jumatano hii watakapoikabili Simba katika mchezo wa Ligi Kuu. Minziro na msaidizi wake, Mathias Wandiba walitambulishwa Aprili 10, 2026 kikosini humo kuiongoza timu hiyo kuchukua nafasi ya mtangulizi wake, Mohamed Ismail ‘Laizer’. Kocha huyo mwenye…

Read More

Singida BS akili yote ipo kwenye mashindano ya CAF

WAKATI Singida Black Stars ikifuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, benchi la ufundi limesema hesabu zao msimu huu ni kupata tena tiketi ya kushiriki michuano ya CAF, huku ikizipiga mkwara Yanga na Simba. Msimu uliopita, Singida Black Stars ilishiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumaliza nafasi nne za juu…

Read More

Dodoma Jiji yafunika vigogo Bara

WAKATI Dodoma Jiji ikiwa ugenini Jumatano hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kucheza dhidi wenyeji wao, Coastal Union, Walima Zabibu hao ndio timu yenye kiwango bora zaidi kwa sasa Ligi Kuu Bara huku ikizizidi kete vigogo Simba, Yanga, Singida Black Stars na Azam kwa mujibu wa takwimu. Takwimu za mechi tano zilizopita za Ligi…

Read More

FYATU MFYATUZI: Fyatu sasa kutopokea mshahara tena japo….

Baada ya vyuma kukaza kutokana na ufyatu na wendawazimu wa Donnie Tarampu na Ben Niitenyau, Fyatu natangaza rasmi kuwajibika. Kuanzia leo, sitapokea mshahara wangu. Je, ni kiasi gani? Siwaambii. Niwambie mje mniibie? Mmenoa ile mbaya. Naona yule anatoatoa mimacho akipekua gazeti kutaka kujua nanyaka mabilioni mangapi ya madafu. Ukome na ukomoe kabla sijakukomoa na kukomesha…

Read More

Simema la Sowah, Bocco aachiwa msala

UNAWEZA kusema hii ni kama sinema katika sakata la mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah na klabu hiyo hadi kufikia sasa ambapo uamuzi umetoka rasmi. Sowah ambaye alitua Simba Agosti 2025 kipindi cha usajili wa dirisha kubwa akitokea Singida Black Stars, ishu yake ndani ya klabu hiyo kwa kile kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu, imegeuka kama…

Read More

Uhaba wa madaktari bingwa wa ubongo kwa watoto washtua

Dar es Salaam. Wakati idadi ya watoto wanaokabiliwa na matatizo ya mfumo wa fahamu ikiendelea kuongezeka nchini, imebainika kuna madaktari bingwa watatu pekee wa ubongo kwa watoto wanaohudumia maelfu ya wagonjwa, hali inayotia shaka upatikanaji wa huduma bora za afya kwa kundi hilo nyeti. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),…

Read More

Kigwangalla asimulia maisha yalivyo bila cheo

Dar es Salaam. Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amesema tofauti kati ya kuwa na mamlaka na kukosa ni kubwa, akieleza kuwa pamoja na nguvu, fursa, heshima na mtandao mpana wa marafiki vinavyokuja na cheo, hali hubadilika mara tu mamlaka yanapoondoka. Amesimulia kuwa katika maisha yake ya sasa bila kuwa waziri…

Read More

UNDP na Finland Wawekeza Katika Biashara Endelevu Tanzania

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dr Linda Salekwa (katikati) na wageni wengine wakipiga makofi wakati Shirika la UNDP pamoja na Serikali ya Finland wakitambulisha biashara bunifu 14 ndogo ndogo na za kati (MSMES) kupitia mpango wa #GreenCatalyst. Hafla hiyo ilifanyika Mjini Njombe. United Nations Development Programme (UNDP) Tanzania, kupitia programu yake ya ubunifu ya FUNGUO,…

Read More