Wachimbaji wadogo Shinyanga wasitisha uzalishaji kisa tozo za halmashauri
Shinyanga. Wachimbaji wadogo wa madini katika migodi midogo iliyopo Kata ya Mwakitolyo, Halmashauri ya Shinyanga, wamesitisha shughuli za uchimbaji kwa zaidi ya wiki mbili sasa kufuatia kuanzishwa kwa tozo mpya ya Sh200,000 kwa kila gari linalotoka na mawe mgodini. Wakizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 17, 2026, wachimbaji hao wamesema chanzo kikuu cha kusimamisha…